الموضوع: Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammd Al’Yamani Anawahdharisha Wale Wanao Khalifu Amri Ya Allah Na Mtume Wake Kutokana Na Ghadhabu Ya Allah Na Hasira Zake Na Adhabu Yake ..

النتائج 1 إلى 1 من 1
  1. Post Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammd Al’Yamani Anawahdharisha Wale Wanao Khalifu Amri Ya Allah Na Mtume Wake Kutokana Na Ghadhabu Ya Allah Na Hasira Zake Na Adhabu Yake ..


    Al’Imam Nasser Muhammad Al’Yamani
    الإمام ناصر محمد اليماني
    01 - رمضان - 1439 هـ
    16 - 05 - 2018 مـ
    11:03 صباحاً
    يوم الأربعاء وبحسب التقويم الرسمي الإلكتروني لأمّ القرى
    خلافاً عن إعلان المملكة العربية السعودية بدء شهر رمضان

    Siku ya juma’tano na kulingana na kalenda rasmi ya kielktroniki ambal ni mama kinyume na tangazo la ufalme wa kiarabu sudia kuanza mwezi wa Ramadhani
    ــــــــــــــــــــــــ

    الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني يحذّر الذين يخالفون أمر الله ورسوله من غضب الله ومقته وعذابه ..

    Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammd Al’Yamani Anawahdharisha Wale Wanao Khalifu Amri Ya Allah Na Mtume Wake Kutokana Na Ghadhabu Ya Allah Na Hasira Zake Na Adhabu Yake ..

    Bismillah Al’Rahman Al’Rahim, Amesema Allah Ta3ala:

    :
    {مَّن يُطِعِ الرَّسُولَ فَقَدْ أَطَاعَ اللَّـهَ ۖ وَمَن تَوَلَّىٰ فَمَا أَرْسَلْنَاكَ عَلَيْهِمْ حَفِيظًا ﴿٨٠﴾} صدق الله العظيم [النساء].

    {Mwenye kumt'ii Mtume basi ndio amemt'ii Mwenyezi Mungu. Na anaye kengeuka, basi Sisi hatukukutuma wewe uwe ni mlinzi wao(80)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisaa].

    Na Akasema Allah Ta3ala:
    {يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُتِبَ عَلَيْكُمُ الصِّيَامُ كَمَا كُتِبَ عَلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكُمْ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ ﴿١٨٣﴾} صدق الله العظيم [البقرة].
    {Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamngu (183)} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara].

    Na Akasema Allah Ta3ala:
    {شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ ۚ فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ}صدق الله العظيم [البقرة:185].
    {Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur'ani kuwa ni uwongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi. Basi yule ambae ameuwona mwezi miongoni mwenu Basi afunge} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara:185].

    Na Akasema Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi wa Alihi wa Salam: [Musifunge Mpaka Muone Mwandamo, Na Wala Musifunguwe mpaka muone Mwandamo].

    Na Akasema Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam: [ikiwa mumiuona mwandamo basi fungeni na mukiuona basi funguweni],
    Na Hivo Ni Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
    {شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ ۚ فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ} صدق الله العظيم [البقرة:185].


    {Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur'ani kuwa ni uwongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi. Basi yule ambae ameuwona mwezi miongoni mwenu Basi afunge} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara:185].

    Na Mimi Hakika Ni Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani Natoa Fatwa Kwa Haki kwamba wale ambao wanatangaza Siku ya kwanza ya kufunga Mwezi wa Ramadhani kabla hawajauona mwandamo wa mwezi wake kutoka kwa kamati ya kupeleleza miandamo ya Ramadhani basi hakika hawo wamekhalifu Amri Ya Allah kwenye muhakam ilio wazi kitabu chake Al’Quran Al3adhim Na Wamekhalifu Amri Ya Muhammad Mtume wa Allah Katika ma hadithi ya sunna alnabawia za kweli ambazo zinawafikiana na Amri Ya Allah Katika Muhakam Kitabu Chake Wala hazikhalifu nayo kitu.

    Na Namshudisha Allah Na Tosha Kwa Allah Kuwa Shahidi kwamba Hakika yule atakae khalifu Amri Ya Allah na Mtume Wake basi amemasi Allah na Mtume Wake, Na Hakika Wala Hatotakabali Allah Saumu Ya yule alio khalifu Amri Ya Allah Na Mtume Wake, Na Wala hatakiwi kwa Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani Kwamba afwate matamanio yenu enyi ambao munatangaza mwanzo wa kufunga Ramadhani kabla kuona mwandamo wa Ramadhani, Sema Leteni ushuhuda wenu ikiwa nyinyi ni wakweli!

    Na enyi ma3ashara ya ma anssar asabiqin alakhyar katika pembe tafauti katika mataifa kila atakae kusikia katika taifa lake kwamba imethubutu kwao kuonekana mwandamo wa Ramadhani kisharia baada kuzama jua la hio taifa basi afunge, Na ikiwa kamati ya kuangalia miandamo ni warongo basi juu yao urongo wao na Atatakabali Allah Saumu Yenu, Ama kwamba mufwate wale ambao wanatangaza mwanzo wa mwezi wa Ramadhani kisharia siku fulani na wao hawakuona mwandamo basi mukafunga kulingana na fatwa yao ya batili kuhubiri ghaibu basi nasema: Hapana na hapana mara elfu, Basi sitoridhika mukhalifu Amri Ya Allah katika Muhakam Kitabu Chake Al’Quran Al3adhim, Wala Sitoridhika mukhalifu Amri Ya Mtume Wa Allah kwenye ma hadithi za haki katika Sunna za Muhammad Mtume Wa Allah Za Kweli ambazo ametamka ulimi wake Juu yake Sala Na Salam ambae hatamki kutokana na matamanio yake katika dini ya Allah kutoka kwa nafsi yake, Na wala haitakiwi kwa ma hadithi za haki zikhalifu muhakam kitabu cha Allah Al’Quran Al3adhim ikiwa nyinyi nayo muna’amini, Basi Musikhalifu Amri Ya Allah Na Mtume Wake na Wala musipote pamoja na waliopotea kwa nafsi zao na wakapoteza umma wao.

    Na huyo hapo Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani anajua kwa kujuwa kwa yakini ya kisayansi kulingana na mwanzo wa kufikilia kwamba mwandamo wa shabani imeingia kwenye giza kupotea alfajiri ya juma’tatu na ikaanza kuzaliwa asubuhi ya juma’tatu nayo iko katika hali ya kufikiliwa kwa tarehe na wakati wa kituo cha Ardhi na ulimwengu na kibla cha umma zote Maka Al’Mukarama kwa Saa ya nymba ya kwanza ilio wekwa kwa watu; Msikiti wa alharam nyumba ya Allah tukufu, Na hakika kwamba mwanzo wa Ramadhani kisharia kulingana na kuonekana miandamo kuonekana kwa jicho baada kuzama jua kama walivo kuwa kabla yenu katika ma umma, Basi ilikua kisawa mu’wone baada ya kuzama jua la juma’tatu usiku wa juma’inne kisharia na kwa jicho la kawaida, Lakini najuwa kwa yakini kwamba hakika jua limefikilia mwezi basi ikazaliwa mwandamo kabla ya kusuf likakutana nae jua nayo tayari ni mwandamo, Na hiyo ni sharti katika masharti maku ya kiyama na ishara ya kumsadikisha Al’Mahdi Al’muntadhar Nasser Muhammad Al’Yamani, Basi Mutapata usiku wa Albadr kukamilika mwezi kuwa ful moon siku yake ya kwanza inafika kuwa kamili Alfajiri ya juma’tatu kwa wakati wa Maka Al’Mukarama, Na ama siku ya kukamilika mwezi siku yake ya pili kuwa albadr ful moon basi baada ya kuzama jua la juma’tatu usiku wa juma’inne kwakua mwezi wa kukamilika kwa wanao ona ni ma siku mawili.

    Na miongoni mwenu mwenye kupotezwa na ma taleskop, basi huwenda akaona pembe ya mwandamo kinyume na anavo iona kwenye waki, ama akaona mwandamo wa sayari ingine akadhani ni mwandamo, ispokua hio ni kwa sababu ya teleskop inaofanya kubwa ma sayari, Ispokua awe anao ujuzi wa kupeleleza miyandamo,

    Pamoja ya kwamba mimi wakati wote huo wa miyaka kumi sijatumia teleskob ispokua kwenye mwaka wa 1438 kwakua mimi daima naona miandamo ya kufikiliwa kwenye usingizi wangu, Nikataka niuone kwenye wakii ya uhakika ikawa hayo alfajiri ya juma’tatu katika mwanzo wa rajabu ya mwaka 1438 kulingana na kufikiliwa na ilikua pembe ya mwandamo yalekea juu kuona kwa jicho na hivo hivo kwenye teleskob haikubadilisha pembe ya mwandamo, Kwakua pembe ya mwandamo ya rajabu ya mwaka 1438 ilikua yalekea juu yani pembe ya kimbingu sawa sawa, Kwajili ya hivo haikubadilisha mwelekeo wake teleskub kwakua mimi nilikua naona mwandamo wa rajabu kwa wakii kwenye wakati huo huo kwa jicho la kawaida basi naziona zalekea juu na nangalia hapo hapo kwa teleskob nawuona kwenye hali hio hio, Lakini ikiwa pembe ya mwandamo imelekea kujikunja kidogo mbinguni kaskazini kama mwandamo wa shaabani ilio pita ya mwaka wenu hu 1439 basi mwenye ku’wangalia kwa jicho la kawaida atauwuona kwa haki kwenye wakii ya ukweli kaskazini ya kimbingu, Yani kwamba pembe ya mwandamo imjilekeza kazkazini kimbingu kwenye wakii ya uhakika, Lakini pindi nikiangalia kwa kupitia teleskob naona pembe ya mwandamo imejilekeza kusini mwa mbingu ispokua teleskop haibadilishi pembe ya mwandamo wa mwezi ikiwa pembe zake zalekea juu yani zalekea mbinguni Timamu,

    Na mujuwe kwa yakini kwamba hakika ya pembe ya mwezi mpya inatafautiana na ma pembe za miyezi ambazo kabla yake kutoka Aumbe Allah Mbingu Na Ardhi, Na hio hikma ya kiungu kutokana na hayo ili ibainike kwenu pembe za mwandamo wa mwezi mpya kwamba inakuja tafauti na pembe ya mwando wa mwisho wa mwezi wa kitambo ulio kabla yake, Na hivo ili ibainike kwa yule amtakae Allah aone mwandamo wa mwezi alfajiri nae iko kwenye hali ya kufikiliwa alfajiri katika upeo wa inchi youote,

    Na kuhusu mwandamo wa Ramadhani wa mwaka wenu hu 1439 imeingia kwenye kupotea gizani alfajiri ya juma’tatu baada kuzama jua la juma’pili na nafahamu nayo yasema sawa sawa, Kwahivo inakua usiku wa kwanza wa mwezi kua kamili usiku wa juma’tatu na usiku wa juma’inne baada kuzama jua la juma’tatu kwa wanao’angalia kwa mwezi albadr kamili ful moon kwa watu wote katika uso wa Ardhi na kila moja kulingana na upeo wake wa mashariki na ama usiku wa kwanza wa albadr ful moon mwezi kua kamili basi kila moja kulingana na upeo wake upande wa magharibi alfajiri. ikiwa muna’amini kauli ya Allah Ta3ala:

    {كَلَّا وَالْقَمَرِ ﴿٣٢﴾ وَاللَّيْلِ إِذْ أَدْبَرَ ﴿٣٣﴾ وَالصُّبْحِ إِذَا أَسْفَرَ ﴿٣٤﴾ إِنَّهَا لَإِحْدَى الْكُبَرِ ﴿٣٥﴾ نَذِيرًا لِّلْبَشَرِ ﴿٣٦﴾ لِمَن شَاءَ مِنكُمْ أَن يَتَقَدَّمَ أَوْ يَتَأَخَّرَ ﴿٣٧﴾} صدق الله العظيم [المدثر].
    Allah Ta3ala Asema:
    {Hasha! Naapa kwa mwezi (32) Na kwa usiku unapo kucha (33) Na kwa asubuhi inapo pambazuka (34) Hakika hio ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa (35) Ni onyo kwa binaadamu (36) Kwa anaye taka miongoni mwenu kutangulia au kuchelewa (37)} Sadaqa Allah Al3adhim [Almudather].

    Na Alhamdulillah kwamba wengi wa binadamu hawalali katika ma usiku za Ramadhani, Na inao kusudiwa kwa onyo kwa binadamu ni kwamba vipi itakamilika albadr ful moon kabla usiku wa nusu wa mwezi kwa masiku kadha? Na jibu kwa wenye akili: Na hivo ni kwajili ya jua limefikilia mwezi basi ikazaliwa mwandamo kabla ya “kusuf” eclipse basi likakutana nae jua na tayari nae ni mwandamo, Yani imepita kweke usiku mbili ama tatu kulingana na aina ya kufikiliwa kutoka kubwa kwenda pakubwa zaidi, Na hio ndio sababu ya kweli kwa haki kwenye wakii ya uhakika katika siri ya kufura miandamo. Kusadikisha Hadithi ya Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi wa Alihi wa usalim tasliman Amisema:
    [من اقتراب الساعة أن يرى الهلال قَبَلاً، فيقال: لليلتين أو ثلاث]،
    [Katika alama ya kukurubia saa kwamba inaonekana mwandamo mbele, basi isemekane: ya siku mbili ama tatu],
    Kama mutakavo kuona mwandamo wa Ramadhani ya mwaka wenu hu 1439 imefura pamoja yakwamba ni usiku wa kwanza wana’uwona katika ulimwengu! Basi nini sababu ya kufura kwake? Alafu anawapa jibu juu yenu Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani Na nasema kwa mara nyingi na kukariri:

    ( hivo kwenu kwasababu kwamba jua limefikia mwezi basi ikazaliwa mwandamo kabla ya “kusuf” eclipse basi ikakutana nae jua nayo ni mwandamo )

    Na hivo kwenu ni yale alio nifundisha Mola Mlezi wangu na lana ya Allah juu ya Nasser Muhammad Al’Yamani ikiwa ni katika warongo ama lana ya Allah juu ya atakae kata na akafanya kiburi baada kubainika kwake kwamba ni haki kutoka kwa Mola Mlezi Wake basi akakata kutoa beyaa na kufwata haki, Na jee yule mwenye kuchukia haki kutoka kwa Allah ispokua ni Shetani maluni? Ewe Mola Mlezi ghufuria na urehemu na uhukumu baina yetu kwa arajifa mtingisho inaanguka kwa ma aduwi wa kubwa wa Allah na Mtume wake basi umfikiishie adhabu yake yule Wamtakae na Umondoshe kwa Yule Wamtake, Allahuma Ghufuria na Urehemu waislamu waliodhulumiwa katika ulimwengu Ewe Ambae Umetosheleza kila kitu Rahma na kujuwa, Na uwaongoze walio potea wale ambao hawajuwi na wale ambao lau watajua ni haki kutoka kwa Mola Mlezi wao basi wangifwata, Na Waadi Wako ni Haki na Wewe ni Mwenye Huruma Zaidi Kuliko wenye Huruma.

    Na ewe ambae ulio laniwa mal’uni Donald Tramp ambae ni katika ma shetani binadamu wakuu na alie kua kama yeye katika ma sahyuni kama wewe, Wapi pa kukimbilia basi hutopata kwako mbali na Allah wali wala mwenye kukusaidia? Na atawaadhibu Allah wakati atakapo, Basi ni ya Allah Amri kabla na baada, Na Nmetaradhilia Kwa Allah ailete haraka ewe ambae ulio tangaza Kwamba Al’Quds Tukufu ni mjii mkuu wa Ma aduwi wa Allah katika Ma Yahudi.

    Na enyi ma3ashar ya wafalme na viongozi wa waislamu warabu na ma ajami, nimetangulia kitambo awali kuwajulisha kuhusu mipango ya kisahyuni ya kiulimwengu na kwamba mujitayarishe kutoka kutetea nafsi zenu na ardhi yenu na ma Raiya Wenu, Na mutangaze Beyaa Yenu kwa Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani, Na Semeni:” Tumekupa beyaa Kwajili ya Allah Mola Mlezi Wa Ulimwengu na majeshi yetu ni ma askari wako ewe khalifa wa Allah Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani basi ni kiyasi gani tunamhitaji Al’Mahdi Al’Muntadhar katika zama hizi, Basi kua Al’Mahdi Al’Muntadhar Ama Usiwe lakini jee utaondosha ufalme wa kila mfalme ama amiri ama Raisi ambae amekupa beyaa kabla aya ya adhabu chungu?”, Alafu anarudisha jibu Al’Mahdi Al’Muntadhar Nasser Muhammad Al’Yamani juu ya wote viongozi wa binadamu wote na nasema: Ahdi kwa Allah sitpokonya ufalme wa kafiri ametoa beya kwa Al’Mahdi Al’Muntadhar Nasser Muhammad Al’Yamani ili itimu kupatikana amani ya ulimwengu baina ya ma taifa ya binadamu na kukanusha ugaidi na kutimu kupatikane kuoshi kisalama na amani baina ya mwislamu na kafiri na kuinuwa dhulma ya binadamu juu ya nduguyake binadu; Basi Hakuna Kulazimisha katika dini ya Allah, Na nawalingania wote waja wa Allah kwa kumabudu Mola Mlezi Ambae Anae’Abudiwa Allah Pekeyake hana mshirika nae Ambae Nae Mwabudu Yeye na ikhlasi ni Yake Dini, Na mukikata basi nawambia nyinyi yale alio Niamuru Allah Na Mtume Wake Kwamba Niwbie Nyinyi Katika Kauli Ya Allah Ta3ala:


    {قُلِ اللَّـهَ أَعْبُدُ مُخْلِصًا لَّهُ دِينِي ﴿١٤﴾ فَاعْبُدُوا مَا شِئْتُم مِّن دُونِهِ ۗ قُلْ إِنَّ الْخَاسِرِينَ الَّذِينَ خَسِرُوا أَنفُسَهُمْ وَأَهْلِيهِمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ ۗ أَلَا ذَٰلِكَ هُوَ الْخُسْرَانُ الْمُبِينُ﴿١٥﴾ لَهُم مِّن فَوْقِهِمْ ظُلَلٌ مِّنَ النَّارِ وَمِن تَحْتِهِمْ ظُلَلٌ ۚ ذَٰلِكَ يُخَوِّفُ اللَّـهُ بِهِ عِبَادَهُ ۚ يَا عِبَادِ فَاتَّقُونِ ﴿١٦﴾} صدق الله العظيم [الزمر].

    Allah Ta3ala Asema: {Sema: Mwenyezi Mungu tu namuabudu kwa kumsafishia Yeye tu Dini yangu (14) Basi nyinyi abuduni mpendacho badala yake Yeye. Sema: Hakika walio khasirika ni wale walio jikhasiri nafsi zao na ahali zao Siku ya Kiyama. Tambueni kuwa hiyo ndiyo khasara iliyo dhaahiri (15) Yatawekwa juu yao mat'abaka ya moto, na chini yao mat'abaka. Kwa hayo Mwenyezi Mungu anawakhofisha waja wake. Enyi waja wangu! Nicheni Mimi (16)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alzumur].

    Na ewe Abdulmalik alhuthi ambae anadae kwamba amemua Ali Abdallah Swaleh, Basi Sikiza Nacho Sema:
    Natoa Qasam Billah Al3adhim mwenye kuhuisha mifupa nayo ni mchanga hakika mimi sitowasadiki Na viyombo va habari va ulimwengu na nimkadhibishe Allah Subhanahu Ametukuka Ta3ala; Bali Kiongozi Ali Abdallah Swaleh yu’Hai Anaruzukiwa, Na hakika Allah atafikisha Jambo Lake lakini wengi wa watu hawajuwi.

    Na Nasema ewe Afash Alkhafash, Mpaka lini utabaki umejificha kama popo nyundo na Raia wako wanalia ju yako na wewe hai unaruzukiwa? kwakua ibainika kwao ni kiasi gani wamekudhulumu ma viyama na wanakuhusisha wewe uharibifu, Na hakika wao ni warongo; Ma islahi na ma huthi wale ambao walikua wanakulekezea wewe kufeli kwa serekali zao za kidhalimu, Na wamekua Raiya Wa ki yemeni wanatamani dhulma ya chini nayo kurudi Ali Abdallah Swaleh kwakua hakuna nafasi ya kufanya mukarana baina ya dhulma ya madhalimu katika ma islahi na ma huthi na kidogo kati yao wema, Na wala hamna kheri kwa ma hizbu wamebaki kupiga shingo badhi yao ju ya badhi na aduwi wa kisahyuni anauwa Raia wa falastina ambao hawana silaha, Lakini mwenye uwezo wa vita kiongozi wa harakati ya jihad alislami kwa haki Khalid Mish3el na wale walio wafwata katika Raia wa Ki Falastini wao wako barabara mbele yao wanawasubiri kwa idhini ya Allah Al’Wahid Al’Ahad, Allahuma wanusuru juu ya ma aduwi wako na aduwi wao katika ma suhyuni.

    Na aaaah lau tunao sisi mpaka na T

    el aviv mungeona nini atafanya Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani na wote Ma Anssar katika tafauti za ma taifa ma simba wa jangwa wale ambao Amenawirisha Allah Nyoyo zao kwa Bayana Ya Haki ya Kitabu Chake; Kwahivo nisi’ngengoja Arajifa mtingisho wala sayari ya Adhabu wala mipigo ya umeme na kuzama wala mapande ya majabali ya barafu, Basi hakika niko na moyo uko hai wala sio maiti.

    Basi mcheni Allah ewe ambae ni mfalme Muhammad bin suleman na usmamishe vita ju ya Yemen ili kupoza jiranha kati baina ya waislamu, Na uwaite Viongozi wa Waislamu warabu wao na wa ajemi mpaka Rohani wa iran na musahau uwaduwi na bughdha baina yenu na muwe safu moja dhidi ya aduwi wa Allah na aduwi wenu wale ambao wanataka kubomoa nyumba ya Allah tukufu msikiti wa Al’aqsa na wanataka kufukuza raia wa falasitini wote na kuvunja nyumba zao na sehemu takatifu za waislamu na manassara ambao ni wakristo; Ma nasara ambao wako karibu kwa waumini wanao chukia siyasa za kiyahudi ambao ni masuhyuni ma shetani binadamu, Na nawausia kwa ma naswara kheri wale munawapata wanachukia siyasa za kisahyuni kwa kuongozwa na Shetani wa binadamu Donald tramp, Na ataenda kujua na ma wali wake katika ma shetani binadamu kwamba Allah ni shadidi wa kuadhibu na kwamba Allah mbinu yake ni haraka zaidi na yeye ni mbora wa wanao fanya mbinu kwa haki na wadi wake ni haki na Yeye Ni Arhma Arahimin.


    Na enyi ma3ashara ya Ma Anssar wetu katika Falastin kwa wepesi na uzito vijana kwa waze basi mujiunge nyote kwa pamoja na Ghaza jabha ya vita kwa haki wala sio ma jabha za fujo kama mandamano ambao hainenepeshi wala haishibishi nja, Na mutete nafsi zenu enyi ma3ashara ya Raia wa Falastin.

    Na ewe Mahmud Abas Kua katika wajibu kisawa sawa wala usiwe ni katika wale wanao sema ambao hawayatendi, Basi hakika ya maneno pekeyak bila ya vitendo basi ndio inamchukiza kwa Allah. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:


    {سَبَّحَ لِلَّـهِ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۖ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ ﴿١﴾ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لِمَ تَقُولُونَ مَا لَا تَفْعَلُونَ ﴿٢﴾ كَبُرَ مَقْتًا عِندَ اللَّـهِ أَن تَقُولُوا مَا لَا تَفْعَلُونَ ﴿٣﴾ إِنَّ اللَّـهَ يُحِبُّ الَّذِينَ يُقَاتِلُونَ فِي سَبِيلِهِ صَفًّا كَأَنَّهُم بُنْيَانٌ مَّرْصُوصٌ ﴿٤﴾} صدق الله العظيم [الصف].


    Allah Ta3ala Asema:
    {Vinamtakasa Mwenyezi Mungu viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Yeye ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima (1) Enyi mlio amini! Kwa nini mnasema msiyo yatenda (2) Yanachukiza vikubwa mno kwa Mwenyezi Mungu kuwa mnasema msiyo yatenda (3) Kwa hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wanao pigana katika Njia yake kwa safu kama jengo lilio kamatana (4)} Sadaqa Allah Al3adhim [Asafu].


    Na eee ni aibu’gani basi haifali kukanusha enyi viongozi wa warabu na ma ajami waislamu na ma nasara basi kuweni mkono moja dhidi ya Aduwi wa Allah na Aduwi Wenu, La sivo basi Atanidhihirisha Allah juu yenu kwenye usiku moja na Awaadhibu adhabu chungu mno na angamize aduwi wa Allah na aduwi wenu, Basi itikieni kwa Allah kwa yale inao huisha nyoyo zenu kwa Bayana ya haki ya Al’Quran Al3adhim, Na pindi wakajivuta ma sahyuni kurudi kwenye mipaka ya Arbaini na Nane basi wawacheni basi hakuna uwaduwi ila kwa ma dhalimu wanaofanya uwaduwi, Na hakika mimi ni Al’Mahdi Al’Muntadhar Nasser Muhammad Al’Yamani nawalingania kutimu kupatikane amani ya ulimwengu baina ya ma taifa ya binadamu na kwa kuishi ki usalama na amani baina ya mwislamu na kafiri na kukanusha siasa kali na ugaidi lakini mimi sisemi kwamba yule ambae anatetea ardhi yake na sehemu takatifu zake na sharafa yake Kwamba wewe ni gaidi; Bali magaidi ni wale wafisidifu katika ardhi wale ambao wafanya uwaduwi juu ya Ardhi na manyumba ya waislamu ama manyumba ya makafiri wale ambao hawakupigana na wao kwenye dini yao, Basi mujilazu na Amri ya Allah Ta3ala:
    {وَقَاتِلُوا فِي سَبِيل اللَّه الَّذِينَ يُقَاتِلُونَكُمْ وَلَا تَعْتَدُوا إنَّ اللَّه لَا يُحِبّ الْمُعْتَدِينَ} صدق الله العظيم [البقرة:190].


    Allah Ta3ala Asema: {Na mupigane katika njoa ya Allah wale ambao wanapigana na nyinyi na wala musifanye uwaduwi hakika Allah hapendi anao fanya uwaduwi } Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara:190].

    Basi balighisheni enyi ma3ashara ya ma Anssar kupitia internet ya ulwengu wala musiogope kwajili ya Allah lawama ya mwenye kulaumu vile mutakavo weza, Na Hasbuna Allah wa Neema Alwakil, Neema Almaula wa Neema Al’Nassir, Na kwa Allah yanarudi mambo, Anae juwa ukhaini wa macho na kinacho vicha kifua, Na Salam Juu Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin..

    Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani.

    خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.

    [ لمتابعة رابط المشاركـة الأصليّة للبيان ]

    https://mahdialumma.net/showthread.php?t=34845



    ___________


    اقتباس المشاركة 286912 من موضوع الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني يحذّر الذين يخالفون أمر الله ورسوله من غضب الله ومقته وعذابه ..


    الإمام ناصر محمد اليماني
    01 - رمضان - 1439 هـ
    16 - 05 - 2018 مـ
    11:03 صباحاً
    يوم الأربعاء وبحسب التقويم الرسمي الإلكتروني لأمّ القرى
    خلافاً عن إعلان المملكة العربية السعودية بدء شهر رمضان
    ــــــــــــــــــــــــ



    الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني يحذّر الذين يخالفون أمر الله ورسوله من غضب الله ومقته وعذابه ..

    بسم الله الرحمن الرحيم، قال الله تعالى:
    {مَّن يُطِعِ الرَّسُولَ فَقَدْ أَطَاعَ اللَّـهَ ۖ وَمَن تَوَلَّىٰ فَمَا أَرْسَلْنَاكَ عَلَيْهِمْ حَفِيظًا ﴿٨٠﴾} صدق الله العظيم [النساء].

    وقال الله تعالى:
    {يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا كُتِبَ عَلَيْكُمُ الصِّيَامُ كَمَا كُتِبَ عَلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكُمْ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ ﴿١٨٣﴾} صدق الله العظيم [البقرة].

    وقال الله تعالى:
    {شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ ۚ فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ} صدق الله العظيم [البقرة:185].

    وقال محمدٌ رسول الله صلّى الله عليه وآله وسلّم:
    [لَا تَصُومُوا حَتَّى تَرَوُا الْهِلَالَ، وَلَا تُفْطِرُوا حَتَّى تَرَوُا الْهِلَالَ].

    وقال محمدٌ رسول الله صلّى الله عليه وآله وسلّم:
    [إذا رأيتم الهلال فصوموا وإذا رأيتموه فأفطروا]، وذلك تصديق لقول الله تعالى: {شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ ۚ فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ} صدق الله العظيم [البقرة:185].

    وإني الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني أُفتي بالحقّ أنّ الذين يعلنون أوّل صيام شهر رمضان من قبل أن يشهدوا هلال شهره من قِبَلِ لجان تحري هلال رمضان فأولئك خالفوا أمر الله في محكم كتابه القرآن العظيم وخالفوا أمر محمدٍ رسول الله في أحاديث السّنة النبويّة الحقّ التي تتفق مع أمر الله في محكم كتابه ولا تخالفه شيئاً.

    وأُشهد الله وكفى بالله شهيداً أنّ من خالف أمرَ الله ورسوله فقد عصى الله ورسوله، ولن يتقبل الله صيام من خالف أمر الله ورسوله، ولا ينبغي للإمام المهديّ ناصر محمد اليماني أن يتّبع أهواءكم يا من تعلنون غرّة صيام رمضان من قبلِ أن تروا هلال رمضان، قل هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين!

    ويا معشر الأنصار السابقين الأخيار في مختلف الأقطار كلّ من سمع في دولته أنها ثبتت لديهم رؤية هلال رمضان شرعاً من بعد غروب شمس تلك الدولة فليصمه، وإن كانت لجان تحري الهلال كاذبة فعليهم كذبهم ويتقبل الله صيامكم، وأما أن تتبعوا الذين يعلنون أنّ غرّة شهر رمضان الشرعيّة اليوم الفلاني وهم لم يروا الهلال فتصوموا بحسب فتواهم الباطلة رجماً بالغيب فأقول: لا وألف لا، فلن أرضى أن تخالفوا أمر الله في محكم كتابه القرآن العظيم، ولن أرضى أن تخالفوا أمر رسول الله في الأحاديث الحقّ في سنّة محمدٍ رسول الله الحقّ التي نطق بها لسانه عليه الصلاة والسلام الذي لا ينطق عن الهوى في دين الله من عند نفسه، ولا ينبغي للأحاديث الحقّ أن تخالف لمحكم كتاب الله القرآن العظيم إن كنتم به مؤمنين، فلا تخالفوا أمر الله ورسوله ولا تضلّوا مع المُضلّين لأنفسهم والمُضلّين لأمّتهم.

    وها هو الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني ليعلم علم اليقين العلمي بحسب غُرَرِ الإدراك أنّ هلال شعبان دخل في المحاق فجر الإثنين وبدأ بالميلاد صباح الإثنين وهو في حالة إدراكٍ بتاريخ وتوقيت مركز الأرض والعالَم وقبلة الأمم مكة المكرمة بساعة أوّل بيتٍ وُضع للناس؛ المسجد الحرام بيت الله المُعظّم، وأنّ غرّة رمضان الشرعيّة بحساب رؤية الأهلّة رأي العين بعد غروب الشمس كما كان الذين من قبلكم في الأمم، فكان من المفروض أن تروها بعد غروب شمس الإثنين ليلة الثلاثاء شرعاً وبالعين المجردة، ولكني أعلمُ علمَ اليقين أنّ الشمس أدركت القمر فوُلد الهلال من قبل الكسوف فاجتمعت به الشمس وقد هو هلال، وذلك شرطٌ من أشراط الساعة الكبرى وآية التصديق للمهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني، فتجدون ليلة البدر الأولى تبلغ بدر التمام فجر الإثنين بتوقيت مكة المكرمة، وأمّا ليلة البدر الثانية فبعد غروب شمس الإثنين ليلة الثلاثاء كون قمر الإبدار بالعيان ليلتين.

    ومنكم من تُضلّه التلسكوبات، فقد يرى قَرني الهلال بعكس ما يراه على الواقع، أو يرى هلال كوكبٍ آخر فيظنّ أنه الهلال، وإنما هذا بسبب التلسكوب المكبّر للكواكب، إلا أن تكون لديه خبرة في رصد الأهلّة.

    وبرغم أني طيلة عشر سنواتٍ لم أستخدم التلسكوب إلا في عام 1438 كوني دائماً أرى أهلّة الإدراك في منامي، وأردت أن أراها على الواقع الحقيقي فتمّ ذلك فجر الإثنين في غرّة رجب لعام 1438 بحسب الإدراك وكان قرني الهلال إلى الأعلى رأي العين وكذلك في التلسكوب لم يغيّر قرني الهلال، كون قرون هلال رجب لعام 1438 كانت إلى الأعلى أي قروناً سماويّة تماماً، ولذلك لم يغيّر اتجاهها التلسكوب كوني كنت أرى هلال رجب على الواقع في نفس اللحظة بالعين المجردة فأراهن إلى الأعلى وأنظر كذلك في التلسكوب فأراهن بنفس الوضعية، ولكن حين يكون قرني الهلال مائلة سماوي جنوبي كمثل هلال شعبان المنصرم لعامكم هذا 1439 فمن ينظر إليه بالعين المجردة يراه بالحقّ على الواقع الحقيقي جنوبي سماوي، أي أن قرني الهلال مائلة إلى الجنوب السماوي على الواقع الحقيقي، ولكن حين أنظر إليه عبر التلسكوب فأرى قرني الهلال مائلةً إلى الشمال السماوي غير أن التلسكوب لا يغير اتجاه قرني الهلال القمريّ إذا كان قرنيه إلى الأعلى أي متجهان نحو السماء تماماً.

    واعلموا علم اليقين أنّ قرون الشهر الجديد تختلف عن قرون الشهر الذي قبله منذ أن خلق الله السماوات والأرض، وتلك الحكمة الربانيّة من ذلك حتى يتبيّن لكم قرون هلال الشهر الجديد أنها تأتي مختلفة عن قرون هلال آخر الشهر القديم الذي من قبله، وذلك ليتبيّن لمن شاء الله أن يرى هلال الشهر بالفجر وهو في حالة إدراكٍ بالفجر في أفق أيّ دولةٍ.

    وبالنسبة لهلال رمضان لعامكم هذا 1439 دخل في المحاق فجر الإثنين بعد غروب شمس الأحد وأعي ما أقول تماماً، ولذلك تعتبر ليلة البدر الأولى ليلة الإثنين وليلة الثلاثاء بعد غروب شمس الإثنين للناظرين الى القمر البدر من كافة البشر على وجه الأرض وكلّ حسب أفقه الشرقي وأما ليلة البدر الأولى فكلّ على حسب أفقه الغربي بالفجر، إن كنتم تؤمنون بقول الله تعالى:
    {كَلَّا وَالْقَمَرِ ﴿٣٢﴾ وَاللَّيْلِ إِذْ أَدْبَرَ ﴿٣٣﴾ وَالصُّبْحِ إِذَا أَسْفَرَ ﴿٣٤﴾ إِنَّهَا لَإِحْدَى الْكُبَرِ ﴿٣٥﴾ نَذِيرًا لِّلْبَشَرِ ﴿٣٦﴾ لِمَن شَاءَ مِنكُمْ أَن يَتَقَدَّمَ أَوْ يَتَأَخَّرَ ﴿٣٧﴾} صدق الله العظيم [المدثر].

    والحمد لله أنّ أغلب البشر لا ينامون في ليالي رمضان، والمقصود من النذير للبشر هو كيف يكتمل البدر قبل ليلة النصف من الشهر بعدّة ليالٍ؟ والجواب لأولي الألباب: ذلك كون الشمس أدركت القمر فوُلد الهلال من قبل الكسوف فاجتمعت به الشمس وقد هو هلال، أي قد مضى عليه ليلتان أو ثلاثٌ حسب نوع الإدراكات من أكبرٍ إلى أكبرٍ، وذلك هو السبب الحقيقي بالحقّ على الواقع الحقيقي في سرّ انتفاخ الأهلّة. تصديقاً لحديث محمد رسول الله صلى الله عليه وآله وأسلّم تسليماً قال:
    [من اقتراب الساعة أن يرى الهلال قَبَلاً، فيقال: لليلتين أو ثلاث]، كما سوف ترون هلال رمضان لعامكم هذا 1439 منتفخاً رغم أنها أول ليلة يرونه في العالمين! فما سبب انتفاخه؟ فمن ثم يجيب عليكم الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني وأقول مراراً وتكراراً:

    ( ذلكم بسبب أنّ الشمس أدركت القمر فوُلد الهلال من قبل الكسوف فاجتمعت به الشمس وقد هو هلال )

    ذلكم مما علّمني ربّي ولعنة الله على ناصر محمد اليماني إن كان من الكاذبين أو لعنة الله على من أبى واستكبر من بعد ما تبيّن له الحقّ من ربّه فأبى البيعة والإتّباع للحقّ، فهل يكره الحقّ من الله إلا كلّ شيطانٍ رجيمٍ؟ ربّ اغفر وارحم واحكم بيننا بالراجفة تقع على ألدّ أعداء الله ورسله فتصيب بعذابها من تشاء وتصرفه عمّن تشاء، اللهم واغفر وارحم المسلمين المظلومين في العالمين يا من وسعت كل شيءٍ رحمةً وعلماً، واهدِ الضالين الذين لا يعلمون والذين لو علموا الحقّ من ربهم لاتّبعوه، ووعدك الحقّ وأنت أرحم الراحمين.

    ويا أيها الملعون دونالد ترامب من أكبر شياطين البشر ومن كان على شاكلتك من الصهاينة أمثالك، أين المفر فلن تجد لك من دون الله ولياً ولا نصيراً؟ ويعذّبكم الله حين يشاء، فلله الأمر من قبل ومن بعد، ورجوت من ربي أن يكون عاجلاً يا من أعلنتَ القدس الشريف عاصمة أعداء الله من اليهود.

    ويا معشر ملوك وقادة المسلمين العرب والعجم، سبق وأن أخبرناكم عن المخطط الصهيوني العالميّ وأن تستعدوا للنفير العام للدفاع عن أنفسكم وأرضكم وشعوبكم، وأعلنوا بيعتكم للإمام المهديّ ناصر محمد اليماني، وقولوا: "بايعناك لله ربّ العالمين وجيوشنا جنودك يا خليفة الله المهديّ ناصر محمد اليماني فما أحوجنا في هذا الزمان للمهديّ المنتظَر، فكن المهديّ المنتظَر أو لا تكن ولكن فهل تنزع ملك كلَّ مَلِكٍ أو أميرٍ أو رئيسٍ بايَعك من قبل آية العذاب الأليم؟"، فمن ثمّ يردّ المهديّ المنتظر ناصر محمد اليماني على كافة قادات البشر أجمعين وأقول: عهداً بالله لن أنزع مُلك كافرٍ بايع المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني لتحقيق السلام العالمي بين شعوب البشر ونفي الإرهاب وتحقيق التعايش السلمي بين المسلم والكافر ورفع ظلم الإنسان عن أخيه الإنسان؛ فلا إكراه في دين الله، وأدعو كافة عبيد الله إلى عبادة الربّ المعبود الله وحده لا شريك له الذي أعبده مخلصاً له ديني، وإن أبيتم فأقول لكم ما أمرني الله ورسوله أن نقوله لكم في قول الله تعالى:
    {قُلِ اللَّـهَ أَعْبُدُ مُخْلِصًا لَّهُ دِينِي ﴿١٤﴾ فَاعْبُدُوا مَا شِئْتُم مِّن دُونِهِ ۗ قُلْ إِنَّ الْخَاسِرِينَ الَّذِينَ خَسِرُوا أَنفُسَهُمْ وَأَهْلِيهِمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ ۗ أَلَا ذَٰلِكَ هُوَ الْخُسْرَانُ الْمُبِينُ﴿١٥﴾ لَهُم مِّن فَوْقِهِمْ ظُلَلٌ مِّنَ النَّارِ وَمِن تَحْتِهِمْ ظُلَلٌ ۚ ذَٰلِكَ يُخَوِّفُ اللَّـهُ بِهِ عِبَادَهُ ۚ يَا عِبَادِ فَاتَّقُونِ ﴿١٦﴾} صدق الله العظيم [الزمر].

    ويا عبد الملك الحوثي الذي يزعم أنه قتل علي عبد الله صالح، فاسمع ما أقول:
    أقسم بالله العظيم من يحيي العظام وهي رميم أني لن أصدقكم وقنوات العالمين الإخباريّة وأكذّب الله سبحانه وتعالى؛ بل الزعيم علي عبد الله صالح حيٌّ يرزق، وإنّ الله بالغٌ أمره ولكن أكثر الناس لا يعلمون.

    وأقول يا عفاش الخفاش، إلى متى ستظل مختبئاً كالخفاش وشعبك يبكي عليك وأنت حيٌّ ترزق؟ كونه تبيّن لهم لكم ظلمك الأحزابُ ويسندون إليك الخراب، وإنهم لكاذبون؛ الإصلاحيّون والحوثيّون الذين كانوا يسندون إليك فشل حكوماتهم الظالمة، وصار الشعب اليماني يتمنى الظلم الأدنى وهو عودة علي عبد الله صالح كونه لا مجال للمقارنة بين ظلم الظلمة من الإصلاحيين والحوثيين وقليل منهم الصالحون، ولا خير في الأحزاب ضُلّالاً يضربون رقاب بعضهم البعض والعدو الصهيوني يقتل الشعب الفلسطيني الأعزل من السلاح، ولكن مُسعر الحرب الزعيم قائد حركة الجهاد الإسلامي بالحقّ خالد مشعل ومن تبعهم من الشعب الفلسطيني لهم لبالمرصاد بإذن الواحد الأحد، اللهم انصرهم على عدوّك وعدوّهم من الصهاينة.

    وآهٍ لو كانت لنا حدودٌ مع تل أبيب لرأيتم ماذا سيفعل الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني وكافة الأنصار من مختلف الأقطار أسود الغابة الذين نوّر الله قلوبهم بالبيان الحقّ لكتابه؛ إذاً لما انتظرتُ للراجفة ولا لكوكب سقر ولا الصواعق والغرق ولا لشظايا جبالٍ من بَرَدٍ، فلي قلبٌ حيٌّ وليس بميتٍ.

    فاتقوا الله يا أيها الملك محمد بن سلمان وأوقف الحرب على اليمن لتضميد الجراح فيما بين المسلمين، وادعوا قادات المسلمين العرب والعجم حتى روحاني إيران وانسوا العداوة والبغضاء بينكم وكونوا صفاً واحداً ضدّ عدوّ الله وعدوّكم الذين يريدون هدم بيت الله المعظم المسجد الأقصى ويريدون طرد كافة الشعب الفلسطيني وهدم ديارهم ومقدسات المسلمين والنصارى المسيحيين؛ النصارى الأقرب إلى المؤمنين الكارهين لسياسة يهود صهيون شياطين البشر. ونستوصيكم بالنصارى خيراً الذين تجدونهم كارهين سياسة الصهاينة بقيادة شيطان البشر دونالد ترامب، ولسوف يعلم وأولياؤه من شياطين البشر أنّ الله شديد العقاب وأنّ الله أسرع مكراً وهو خير الماكرين بالحقّ ووعده الحقّ وهو أرحم الراحمين.

    ويا معشر أنصارنا في فلسطين خفافاً وثقالاً شباباً وشيبا فلتنضموا أجمعين إلى غزة جبهة القتال بالحقّ وليس جبهات العويل كالمظاهرات التي لا تسمن ولا تغني من جوعٍ، ودافعوا عن أنفسكم يا معشر الشعب الفلسطيني.

    ويا محمود عباس كن على قد المسؤولية ولا تكن من الذين يقولون ما لا يفعلون، فالكلام وحده من غير فعلٍ مقتٌ عند الله. تصديقاً لقول الله تعالى:
    {سَبَّحَ لِلَّـهِ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۖ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ ﴿١﴾ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لِمَ تَقُولُونَ مَا لَا تَفْعَلُونَ ﴿٢﴾ كَبُرَ مَقْتًا عِندَ اللَّـهِ أَن تَقُولُوا مَا لَا تَفْعَلُونَ ﴿٣﴾ إِنَّ اللَّـهَ يُحِبُّ الَّذِينَ يُقَاتِلُونَ فِي سَبِيلِهِ صَفًّا كَأَنَّهُم بُنْيَانٌ مَّرْصُوصٌ ﴿٤﴾} صدق الله العظيم [الصف].

    فيا للعار فلا ينفع الاستنكار يا قادة العرب والعجم المسلمين والنصارى فكونوا يداً واحدةً ضدّ عدوّ الله وعدوّكم، ما لم.. فسوف يظهرني الله عليكم في ليلةٍ ويعذّبكم عذاباً أليماً ويهلك عدوّ الله وعدوّكم، فاستجيبوا لله لما يحيي قلوبكم البيان الحقّ للقرآن العظيم، ولئن انسحب الصهاينة إلى حدود ثمانية وأربعين فذروهم فلا عدوان إلا على الظالمين المعتدين، وإني المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني أدعو لتحقيق السلام العالمي بين شعوب البشر وإلى التعايش السلمي بين المسلم والكافر ونفي التطرف والإرهاب ولكني لا أقول لمن يدافع عن أرضه ومقدساته وعرضه إنك إرهابيٌّ؛ بل الإرهابيّون المفسدون في الأرض الذين يعتدون على أرض وديار المسلمين أو ديار الكافرين الذين لم يحاربوهم في دينهم، فالتزموا بأمر الله تعالى:
    {وَقَاتِلُوا فِي سَبِيل اللَّه الَّذِينَ يُقَاتِلُونَكُمْ وَلَا تَعْتَدُوا إنَّ اللَّه لَا يُحِبّ الْمُعْتَدِينَ} صدق الله العظيم [البقرة:190].

    فبلّغوا بياني هذا يا معشر الأنصار عبر الإنترنت العالميّة ولا تخافوا في الله لومة لائم ما استطعتم، وحسبنا الله ونعم الوكيل، نِعْمَ المولى ونِعم النصير، وإلى الله ترجع الأمور، يعلم خائنة الأعين وما تخفي الصدور، وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..

    خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
    ___________

    [ لقراءة البيان من الموسوعة ]
    https://mahdialumma.net/showthread.php?t=34847
    اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..






المواضيع المتشابهه
  1. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 13-11-2019, 10:42 PM
  2. Kwa Kila Anae Mwamini Allah Anaitakidi Kua Yeye Ni Miongoni Mwa Wanao Mnusuru Allah Na Muhammad Mja Wake Na Mjube Wake ..
    بواسطة زينة الإسلام (فارسة الحق) في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 26-09-2019, 04:51 PM
  3. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 29-07-2018, 01:01 PM
  4. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 01-03-2018, 09:33 PM
  5. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 04-02-2018, 05:23 PM
ضوابط المشاركة
  • لا تستطيع إضافة مواضيع جديدة
  • لا تستطيع الرد على المواضيع
  • لا تستطيع إرفاق ملفات
  • لا تستطيع تعديل مشاركاتك
  •