Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani
الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ
18 - رمضان - 1444 هـ
09 - 04 - 2023 مـ
12:35 مساء
(Kulingana Na Taqwim Rasmi Ya Umul)
(بحسب التقويم الرسمي لأم القرى)

[لمتابعة رابط المشاركة الأصلية للبيان]
https://mahdialumma.net/showthread.php?p=412543
_____


sajili ili Kufatilia kuwazidisha hadithi za kuvutia na kumbukumbu kwa wale wanaokumbuka..
تَسْجيلُ مُتابَعَةٍ لِنَزيدَكم بالقصَصِ المُمتِعَةِ وذِكرى للذَّاكِرين ..


Asalam Alekom Warahmatu Allahi Wa Barakatuhu, maoni mafupi tu kwa muulizaji..


Upepo unapita kwa amri ya Nabii wa Mwenyezi Mungu Sulaiman pale alipoulenga, yaani popote pale Mtume wa Mwenyezi Mungu Suleiman alipotaka kulekeza, basi unatii amri yake, na hakuuzunguka yani kua na ilimu kwa ufalme wa (Sheba ya Yemen) mpaka. Upita kwa amri yake pale alipoulekeza, kwa hivyo hili ndilo jibu fupi.


Ama kuhusu kusilimu kwa Malkia wa Sheba: (Hakika Mwenyezi Mungu ndiye anayestahiki kuabudiwa). Na hayo ni kwa sababu hakuwa na yakini juu ya yale aliyowakuta nayo ma baba zake na watu wake, na hajui kuwa wao wako juu ya haki au juu ya upotevu, na wala hana elimu ya kuifuata isipokuwa akili yake inamwambia kuwa. Aliye umba ufalme wa mbingu na ardhi na jua na mwezi ndiye anayestahiki kuabudiwa, lakini yeye si miongoni mwa wenye yakini bado. Basi Mwenyezi Mungu alijua yaliyomo ndani ya nafsi yake, basi Mwenyezi Mungu akamtaka awe miongoni mwa wenye yakini, hivyo akamuongoza, basi Mwenyezi Mungu akamfunulia waziri wa Nabii wa Mwenyezi Mungu Suleiman kuhusu upande wa ndege ambae ni “Ndege Hud’hud” aende Sheba Yemen. ili kuuchunguza ufalme mkuu wa Sheba na kumwangalia malkia na watu wake kile wanachoabudu, kwa hiyo Hud’hud huyo alisafiri kwa siku chache kadha mpaka akaufikia ufalme wa Sheba. Kwa hiyo akafanya safari ya kuchunguza na kugundua kwamba ilikuwa imejaaliwa kila kitu kuanzia vifaa vya jeshi la kijeshi, farasi ambao wenye Alama, marundo ya dhahabu nyingi, majumba mengi ya kifahari, na jeshi lililozoezwa katika sanaa ya kijeshi. Kwa hiyo Hud’hud akawatazama katika mapambano ya kupigana na jinsi walivyoanza kuruka na farasi juu ya vikwazo na kutoa mafunzo kwa makundi ya askari waliofunzwa katika sanaa ya kijeshi, na akawaona kuwa ndio wenye nguvu zaidi. Mbali na nguvu zao, wao ni kama walivyojieleza kuwa ni watu wa heshima na watu wenye nguvu kubwa, kisha akatazama wanachoabudu watu wake na akawakuta wanaliabudu jua badala ya Mwenyezi Mungu, kisha akaingia ndani ya kasri ya kifalme kutazama yale malkia aliabudu katika hekalu lake la duara lenye madirisha duara na membamba yalio inkua, akamkuta akiabudu jua pasi na Mungu, hapo alikasirika Ndege Hud-hud sana na kudharau akili za watu wake na akili yake malikia.
naye akampazia malkia na Akatoa sauti asizozielewa; Kila anapotaka kulitazama jua kutoka kwenye hekalu yake, ainamishe shingo yake mbele tu kwa kusujudu; Kwa kulisujudia jua kwa nia ya kuliabudu jua. Lakini Ndege Hud-hud, akiwa amekasirishwa na kile anachokiabudu badala ya Mungu, alikuwa akisimama kwenye dirisha la duara ambalo ni sawa na kimo chake na juu kidogo, kwa hiyo husimama mbele ya uso wake ili kumzuwia kulisujudia jua. Hutoa sauti zakufwatana , kwa hivyo wakati wowote anaposogea kwenye dirisha, hata ikiwa mwangaza imeinama kidogo kutoka kwenye jua ili kulisujudia jua, mara moja husogea kwenye dirisha lile lile na kutoa sauti. Kwa hivyo alitaka kumtisha kwa mkono wake, lakini hakuogopa, hakujali, na hakutetereka, kisha akaenda kwenye dirisha lingine, na akafanya harakati zile zile na akatoa sauti, basi akajua kuwa huyu ndege amekasirika na anamona kua Yeye na watu wake wako katika upotofu ulio wazi. Na Malikia alitaka kuhakikisha tabia ya Ndege Hud-hud huyo, kwa hivyo alitoka nje ya hekalu lake, na Ndege Hud-hud hapo hapo akaruka na kutua ju ya hekalu na kumtazama kimya, na Malkia akamtazama kimya.


Kisha akarudi kulisujudia jua ili kuona kama atarudi dirishani kulizuia? Mara tu alipoingia hekaluni, alirudi kusimama kati yake na jua, na akatoa sauti baada ya sauti ambayo hakuielewa, lakini alielewa, hivyo alijua kwamba ndege huyu alikuwa na hasira na hasira kwa kile anachoabudu. bila haki, lakini hakuelewa lugha yake hata kidogo, lakini kupitia harakati zake, Kisha Malkia akatoka Hekaluni kabla ya kulisujudia jua, akaliendea jumba lake la kifalme, na Ndege Hud-hud akatoka nje na akawa anaruka angani, akinyosha mbawa zake kuswali, akawa yuwaswali na kumomba Mwenyezi Mungu, Mola wake Mlezi, ya kwamba hakulisujudia jua, labda. angeelewa kusudi lake, kisha Hud-hud akamwendea Malikia ili kumonesha kwamba kuridhika na furaha yake, hivyo akaruka karibu nae, kukutana nae karibu mbele ya usoni mwake, Ndege Hud-hud Akasongeza songeza shingo yake kumsalimia , Alishangazwa na mienendo ya ndege huyu! Na akatamani lau angeifahamu lugha yake ili ajifunze anachotaka, kisha Hud-Hud akashika njia kuelekea kurudi zake sham kwa Nabii wa Mwenyezi Mungu Suleiman ili amfundishe riwaya kamili na iliyokamilika juu ya Ufalme mkubwa wa Sheba.
Basi akafika kwenye baraza la ushauri la Suleiman, na Mtume wa Mwenyezi Mungu Suleiman akamwambia: Ulikuwa wapi bila idhini yangu? Kisha Ndege hud-hud akamjibu:
{فَقَالَ أَحَطتُ بِمَا لَمْ تُحِطْ بِهِ وَجِئْتُكَ مِن سَبَإٍ بِنَبَإٍ يَقِينٍ ﴿٢٢﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim [Sura:Alnaml:22].


Nabii wa Mwenyezi Mungu, Sulaiman, akamwambia: Lete ulichonacho.
{إِنِّي وَجَدتُّ امْرَأَةً تَمْلِكُهُمْ وَأُوتِيَتْ مِن كُلِّ شَيْءٍ وَلَهَا عَرْشٌ عَظِيمٌ ‎﴿٢٣﴾‏ وَجَدتُّهَا وَقَوْمَهَا يَسْجُدُونَ لِلشَّمْسِ مِن دُونِ اللَّهِ وَزَيَّنَ لَهُمُ الشَّيْطَانُ أَعْمَالَهُمْ فَصَدَّهُمْ عَنِ السَّبِيلِ فَهُمْ لَا يَهْتَدُونَ ‎﴿٢٤﴾‏ أَلَّا يَسْجُدُوا لِلَّهِ الَّذِي يُخْرِجُ الْخَبْءَ فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَيَعْلَمُ مَا تُخْفُونَ وَمَا تُعْلِنُونَ ‎﴿٢٥﴾‏ اللَّهُ لَا إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ رَبُّ الْعَرْشِ الْعَظِيمِ ۩ }
Sadaqa Allah Al’3adhim: [Sura:Al-Naml-23:24:25:26].


Akasema Nabi Wa Allah Suleiman:
{ قَالَ سَنَنظُرُ أَصَدَقْتَ أَمْ كُنتَ مِنَ الْكَاذِبِينَ ‎﴿٢٧﴾‏ اذْهَب بِّكِتَابِي هَٰذَا فَأَلْقِهْ إِلَيْهِمْ ثُمَّ تَوَلَّ عَنْهُمْ فَانظُرْ مَاذَا يَرْجِعُونَ ‎﴿٢٨﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim [Sura:Al-Naml:27:28].


Kisha akarejea safarini tena akiwa na barua ya Nabii wa Mwenyezi Mungu Suleiman, hivyo akamwangalia malkia anapokwenda kwenye hekalu lake kuabudu jua, kisha akamuanzisha kwa harakati zile zile katika safari ya kwanza.
Anasimama mbele ya uso wake ili kumzuia asiabudu jua. kama vile alivyofanya naye katika safari yake ya kwanza, Kila alipotaka kulisujudia jua, alimzuia jua kwenye dirisha ambalo lilikuwa juu kidogo kuliko urefu wake, kwa hiyo, Maliki hakuona kwamba alileta barua pamoja naye wakati huu, bali alisisitiza Hud-Hud kumzuia. kuabudu jua. Hapa, alimlazimisha kuendelea kufikiri kwa kutumia akili, kama vile Nabii wa Mwenyezi Mungu Ibrahim alivyowalazimisha watu wake kutumia akili baada ya kuyaharibu masanamu yao. Na ili tusitoke inje ya mada hiyo, Basi Malikia alikaa kwenye kiti kwenye hekalu ili kutafakari juu ya harakati za ndege na akajiambia Akasema kwa nafsi yake: “Wallahi, ndege huyu ananiona mimi na watu wangu tuko kwenye upotovu kwa kuabudu jua.” Alitamani aelewe lugha yake ili ajue anachotaka kuabudu. Kwakua Yeye na uchungu nafsini mwake na kuona kwamba Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote, ndiye anayestahiki zaidi kumabudu waja, Mpaka pindi hud-hud alimona, amezama katika kufkiria kama watu wa Nabii wa Mungu Ibrahimu walivyofikiri, basi akachukua fursa. ya fursa hiyo na kumbwagia barua Ya nabii wa Mungu Sulemani, Kwa hiyo upesi alianza kuisoma na kupata neno la kwanza lililoandikwa: “Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Ambae ni Mrahimu. Nayo ni kutoka kwa Nabi wa Allah Suleiman Mola Mlezi wa walimwengu wote, Musiwe na kiburi Ju yangu na muje ilhali mumesilimu kwa kumabudun Mwenyezi Mungu peke yake ambaye hana mshirika, basi msijidhulumu nafsi zenu kwa kuliabudu jua badala ya Mwenyezi Mungu.


Hapo hapo macho yake yakafurika kwa yale aliyoyajua juu ya Haki ambayo akili yake iliikubali kabla ya Barua ya Nabii wa Mwenyezi Mungu Suleiman kumjia, lakini Mwenyezi Mungu alitaka kuutuliza moyo wake kwa yale ambayo akili yake ya busara ilimuashiria, hivyo akasema. “Nashuhudia ya kwamba hapana mungu ila Mwenyezi Mungu peke Yake, hana mshirika, na nilijisalimisha pamoja na Sulaiman kwa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote” kabla ya kumuona Nabii wa Mwenyezi Mungu Suleiman, akawa miongoni mwa wenye yakini na akamjua Mwenyezi Mungu Mola wake. na Mwenyezi Mungu akamtia nuru, na kusadikisha ahadi ya Mwenyezi Mungu katika Kitabu chake kinachopambanua:
{وَالَّذِينَ جَاهَدُوا فِينَا لَنَهْدِيَنَّهُمْ سُبُلَنَا ۚ وَإِنَّ اللَّهَ لَمَعَ الْمُحْسِنِينَ ‎﴿٦٩﴾}
Sadaqa Allah Al’3adhim: [Sura: Al-Ankabut:69].


Lakini bado ana tatizo kubwa, ambalo ni: Jinsi ya kuwaongoza watu wake na kuacha uovu wao? Basi akauficha Uislamu wake kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote. Basi akawaita watu watukufu na wakubwa katika kaumu yake (baraza la ushauri) kwa sababu alitumia mbinu za Manabii (na uwashauri katika jambo hilo) kwa hekima ya akili yake Malkia. Allah Ta3ala Asema:
{قَالَتْ يَا أَيُّهَا الْمَلَأُ إِنِّي أُلْقِيَ إِلَيَّ كِتَابٌ كَرِيمٌ ‎﴿٢٩﴾‏ إِنَّهُ مِن سُلَيْمَانَ وَإِنَّهُ بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ ‎﴿٣٠﴾‏ أَلَّا تَعْلُوا عَلَيَّ وَأْتُونِي مُسْلِمِينَ ‎﴿٣١﴾‏ قَالَتْ يَا أَيُّهَا الْمَلَأُ أَفْتُونِي فِي أَمْرِي مَا كُنتُ قَاطِعَةً أَمْرًا حَتَّىٰ تَشْهَدُونِ ‎﴿٣٢﴾‏ قَالُوا نَحْنُ أُولُو قُوَّةٍ وَأُولُو بَأْسٍ شَدِيدٍ وَالْأَمْرُ إِلَيْكِ فَانظُرِي مَاذَا تَأْمُرِينَ ‎﴿٣٣﴾‏ قَالَتْ إِنَّ الْمُلُوكَ إِذَا دَخَلُوا قَرْيَةً أَفْسَدُوهَا وَجَعَلُوا أَعِزَّةَ أَهْلِهَا أَذِلَّةً ۖ وَكَذَٰلِكَ يَفْعَلُونَ ‎﴿٣٤﴾‏ وَإِنِّي مُرْسِلَةٌ إِلَيْهِم بِهَدِيَّةٍ فَنَاظِرَةٌ بِمَ يَرْجِعُ الْمُرْسَلُونَ ‎﴿٣٥﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim:[Sura:Al-Naml:29-35].


Wakasema, zawadi ni nini? Hivyo akawaambia kwamba aliamua kumjaribu Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa tani za dhahabu, hivyo akasema: “Kama yeye ni mmoja wa wafalme wa ardhi, atakubali na tutamchukua kuwa rafiki na mshirika wetu. kwa hivyo tutazidisha nguvu kwa nguvu zetu, na tutamtosheleza ubaya wake na kumkinga na uovu wetu badala ya kupigana na kumwaga damu. Na akiwa ni Nabii aliyechaguliwa na Mola Mlezi wa walimwengu wote, hatutanunua kanuni ya wito wake kwa mlima wa dhahabu.” Wakasema watukufu wa watu wake katika Baraza la Ushauri: "kweli". Akasema: “Bali tukubaliane kuanzia sasa kwamba kama zawadi yetu itarejeshwa kwetu, basi tunajisalimisha pamoja na Sulaiman kwa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote. Je, huoni kuwa ni zawadi inayovutia?!” Wakasema: “Hakika ataikubali, basi tutatosheka na shari yake, na tutamlinda na shari yetu, na tutamshika kuwa mshirika wetu. Ewe malkia tulikubaliana na wewe" Malkia akasisitiza kwamba ikiwa hatakubali, tutajisalimisha kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote, kwa hiyo wakasema: “Bali yeye atakubali. Alisema: "Tukubaline kuanzia sasa na kuendelea." Wakasema: "Basi sawa, na sisi tunangoja pamoja nawe watakayorudi Wajumbe." Wajumbe walitoka kwenda kwa Nabii wa Mwenyezi Mungu Suleiman wakiwa na zawadi ya kihistoria, wakiwa na msafara wa ngamia waliobebeshwa vyuma vya dhahabu. Alipokuja kiongozi wa msafara wa zawadi ya dhahabu, walimfikia Mtume wa Mwenyezi Mungu. Akasema Allah Ta3ala:
{لَمَّا جَاءَ سُلَيْمَانَ قَالَ أَتُمِدُّونَنِ بِمَالٍ فَمَا آتَانِيَ اللَّهُ خَيْرٌ مِّمَّا آتَاكُم بَلْ أَنتُم بِهَدِيَّتِكُمْ تَفْرَحُونَ ‎﴿٣٦﴾‏ ارْجِعْ إِلَيْهِمْ فَلَنَأْتِيَنَّهُم بِجُنُودٍ لَّا قِبَلَ لَهُم بِهَا وَلَنُخْرِجَنَّهُم مِّنْهَا أَذِلَّةً وَهُمْ صَاغِرُونَ ‎﴿٣٧﴾}
Sadaqa Allah Al’3adhim: [Sura:Al-Naml:37].


Ukweli kwamba kuinua dhulma ya mwanadamu dhidi ya mwenzake ni jambo la kulazimishwa, Lakini kuhusu dini hakuna kulazimishana katika dini.
Kisha wajumbe wa Malkia wakarudi na zawadi yao kwa malkia wao, na kisha kile alichokubaliana na watu wake kilitekelezwa ikiwa zawadi yao itarudishwa kwao: ni kuslimu pamoja na Sulaiman kwa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote.


Basi malkia wao akaleta hoja dhidi yao kwa sharti hili, basi wakasilimu pamoja na malkia pamoja na Suleiman kwa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote. Kisha ndege hud-Hud alifurahi sana alipowasikia, wakislimu kwa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote, hivyo akaondoka na bishara ya Mtume wa Mwenyezi Mungu Suleiman kwa siku kadhaa alipokuwa akiruka. Na hakupata muda wa kupumzika ila kidogo kwa ajili ya kula katika matunda, hivyo akamfikia Mtume wa Mwenyezi Mungu Sulaiman, akamwambia kwamba wamesilimu kwa Uislamu pamoja na Malkia wao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote. Nabii wa Mwenyezi Mungu Sulaiman alifanya baraza lake la ushauri katika majini na wanadamu: Akasema Allah Ta3ala:
{قَالَ يَا أَيُّهَا الْمَلَأُ أَيُّكُمْ يَأْتِينِي بِعَرْشِهَا قَبْلَ أَن يَأْتُونِي مُسْلِمِينَ ‎﴿٣٨﴾‏ قَالَ عِفْرِيتٌ مِّنَ الْجِنِّ أَنَا آتِيكَ بِهِ قَبْلَ أَن تَقُومَ مِن مَّقَامِكَ ۖ وَإِنِّي عَلَيْهِ لَقَوِيٌّ أَمِينٌ ‎﴿٣٩﴾‏ قَالَ الَّذِي عِندَهُ عِلْمٌ مِّنَ الْكِتَابِ أَنَا آتِيكَ بِهِ قَبْلَ أَن يَرْتَدَّ إِلَيْكَ طَرْفُكَ ۚ فَلَمَّا رَآهُ مُسْتَقِرًّا عِندَهُ قَالَ هَٰذَا مِن فَضْلِ رَبِّي لِيَبْلُوَنِي أَأَشْكُرُ أَمْ أَكْفُرُ ۖ وَمَن شَكَرَ فَإِنَّمَا يَشْكُرُ لِنَفْسِهِ ۖ وَمَن كَفَرَ فَإِنَّ رَبِّي غَنِيٌّ كَرِيمٌ ‎﴿٤٠﴾‏ قَالَ نَكِّرُوا لَهَا عَرْشَهَا نَنظُرْ أَتَهْتَدِي أَمْ تَكُونُ مِنَ الَّذِينَ لَا يَهْتَدُونَ ‎﴿٤١﴾}
Sadaqa Allah Al’3adhim: [Sura:Al-Naml].


Na alitaka kumjaribu imani yake: Je, ataamini muujiza wa kuleta kiti chake cha enzi, ambacho alikiacha kikiwa na ngome katika jumba la Baraza la Shura, na milango imefungwa juu yake? Au atafitinika na kumsingizia Suleiman kwamba yeye ni mchawi anayemwazia kiti chake cha enzi, hivyo atakuwa miongoni mwa wale wasioongozwa miongoni mwa wale ambao hawatofautishi baina ya uchawi na miujiza? Na hata akathubutu kukikaribia kiti chake cha enzi ili kukigusa kwa mikono yake na kwa kuwa Sulemani alipunguza juu yake mtihani, na akasema: "mgeuzini kiti chake cha enzi kwa ajili yake ili tuone, je ataongoka? anaamini kwamba imeletwa na muujiza kutoka kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote, basi atakuwa miongoni mwa wenye yakini." Akasema Allah Ta3ala:
{فَلَمَّا جَاءَتْ قِيلَ أَهَٰكَذَا عَرْشُكِ ۖ قَالَتْ كَأَنَّهُ هُوَ ۚ وَأُوتِينَا الْعِلْمَ مِن قَبْلِهَا وَكُنَّا مُسْلِمِينَ ‎﴿٤٢﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim: [Sura:Al-Naml].


Na swali linalojitokeza: Ni nini umuhimu ya jibu hili kubwa na kukiri kutoka kwa Suleiman elimu yake, kwani alisema tu: “Ni kana kwamba ndicho”? Na jawabu, kama tulivyoeleza hapo awali katika bayana ya zamani, ni kwamba Malikia alimkonyeza jicho Nabii wa Mwenyezi Mungu Suleiman ili afahamu kuwa ndicho kiti cha enzi, kwani alikiona kiti cha enzi alipokikaribia; Kwa hiyo akaona kwamba ncha za almasi ambazo jina lake lilichorwa katika kile kiti cha enzi zimeondolewa, akaona mahali katika ncha hizo zimechongwa kwenye kile kiti cha enzi (vipande tu vya jina lake viliondolewa). Alijua kwamba kilikuwa kiti chake cha enzi ambacho kilikuwa kimeletwa na muujiza kutoka kwa Mungu kama uthibitisho zaidi wa kile alichokuwa akilingania. Basi akageuka juu ya kiti cha enzi, akapapasa mahali palipo na ncha, ili kuhakikisha kwa kugusa kwamba palikuwa mahali pa ncha za jina lake, kisha akageuka Mngongo Wake kupa wajumbe wa watu wake, na uso wake ukamwelekea Sulemani. Alikonyza macho na kusema, "Ni kama ndicho." Ispokua alimkonyezea macho kwa Nabii wa Mwenyezi Mungu, Suleiman, ili afahamu kwamba kua ndicho kiti cha enzi, na aelewe kwamba hakutaka kukiri kuwa ndicho, kwa kuhofia watu wake wasije wakafitinika kufkiri kwamba Sulemani alikuwa mchawi ambaye aliwazia kiti chake cha enzi.


Basi Mtume wa Mwenyezi Mungu Suleiman alijua anachomaanisha Malkia kutokana na kupepesa jicho lake kwa kusema: “Ni kana kwamba ndicho.” Basi akajua anachomaanisha kisha akashuhudia nafsini mwake kua Malkia anae elimu ya kumjua Mwenyezi Mungu wa Haki. Akasema Allah Ta3ala:
{فَلَمَّا جَاءَتْ قِيلَ أَهَٰكَذَا عَرْشُكِ ۖ قَالَتْ كَأَنَّهُ هُوَ ۚ وَأُوتِينَا الْعِلْمَ مِن قَبْلِهَا وَكُنَّا مُسْلِمِينَ ‎﴿٤٢﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim: [Sura:Al-Naml].


Akasema Allah Ta3ala:
{أَفَمَن يَعْلَمُ أَنَّمَا أُنزِلَ إِلَيْكَ مِن رَّبِّكَ الْحَقُّ كَمَنْ هُوَ أَعْمَىٰ ۚ إِنَّمَا يَتَذَكَّرُ أُولُو الْأَلْبَابِ ‎﴿١٩﴾‏}
Sadaqa Allah Al’3adhim: [Sura:Al-Raad].

Na Tulitaka iwe maoni tu, lakini imekuwa Tarifa. Maelezo zaidi na kwa Mungu mambo yanarudishwa.
Kwa hiyo muiwache bayana hii hapa kwa muda na kusajii kwaji ya ufuatiliaji .. Gumzo na wapendwa wangu katika upendo wa Mungu, wafuasi wazuri wa kwanza na watafiti Wa haki kutoka kwa watu wenye akili.

Na jueni kwa yakini kwamba mimi siwatolei hadithi za Qur’ani kutoka kwangu; Bali kwa hakika mimi naichunguza kwa undani elimu yangu kutoka katika Al’Quran Al3adhim kwa dalili; Kupanua uthibitisho wa ukhalifa juu ya ufalme wa walimwengu kwa kauli ya kweli ya Al’Quran Al3adhim.

Na ninasema: “Ee Mwenyezi Mungu, waliniepusha na kukataa chaguo lako la Khalifa wako, Utakasifu ni Wako, basi humjumuishi yeyote katika hukumu Yako; Ee Mwenyezi Mungu, basi zitiisha shingo za wale wanaokengeuka kwa ishara za askari wa kali wa covid kutoka kwako. Ee Mungu, inua kiwango cha vita vyako vya ulimwengu na za corona, Ewe Mola waongoze miongoni mwa waja wako ambao lau wangeijua kweli wangeliifuata, je Mwenyezi Mungu si ni mjuzi zaidi wa wanaoshukuru.


Na Salam Ju Ya Mitume; Na Alhamdulillah Rabil3alamin..
Khalifa Wa Allah Ju Ya Ufalme Wa Ulimwengu. Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani.
خليفة الله على مَلَكوت العالَمين؛ الإمام المهديّ ناصِر مُحَمَّد اليمانيّ.
____
======== اقتباس =========

اقتباس المشاركة 413363 من موضوع قِصَة هُدَى مَلِكَة سَبَأ وقَومَها وإسلامَهم مَع نَبي الله سُلَيمان بِسَبَب حِكمَة طائر الهُدهُد ..

- 4 -
الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ
18 - رمضان - 1444 هـ
09 - 04 - 2023 مـ
12:35 مساءً
(بحسب التقويم الرسمي لأم القرى)

[لمتابعة رابط المشاركة الأصلية للبيان]
https://mahdialumma.net/showthread.php?p=412543

_________



تَسْجيلُ مُتابَعَةٍ لِنَزيدَكم بالقصَصِ المُمتِعَةِ وذِكرى للذَّاكِرين ..


سَلامُ الله عَليكم ورحمته وبركاته، مُجَرَّدُ تَعليقٍ مُختَصَر لسائلٍ..

إنَّما تَجري الريح بأمْر نبيّ الله سُليمان حيثُ أصاب، أي حيث يُريد نبيّ الله سُليمان أن يُصَوِّبُها فَتُطيع أمره، ولَم يكُن يُحيط بِمملكة (سَبأ اليمانيّة) عِلمًا حتى تجري بأمرِه حيثُ أصاب، فهذا مُختَصَر الجواب.

وأمَّا إسلام مَلِكة سَبأ: (أن الله هو الذي يَستَحِقّ العبادة). وذلك كونها لم تقتَنِع بِما وجدَت عليه أباها وقومها ولا تعلَم هل هم على الحَقّ أم على الباطِل وليس لديها عِلم تَتَّبعه إلَّا أنَّ عقلها يقول لها أنّ الذي خَلَق مَلكوت السَّماوات والأرض والشمس والقَمر هو الذي يَستحِق العِبادة، ولكنها ليست مِن المُوقنين بَعْد، فعَلِم الله بِما في نَفسها فأراد الله أن تكون مِن المُوقنين فيَهديها، فأوحى الله إلى وزير نبيّ الله سليمان على الطيور (طائر الهُدهد) ليذهَب إلى سَبأ لاستكشاف مملكة سَبأ العُظمى ويَنظُر إلى المَلِكة وقومها ماذا يَعبُدون، فسافر الهُدهد بِضعةَ أيَّام حتّى وصَل إلى مملكة سَبأ، فقام بِدورة استكشافيّة فوجدها أوتيَت مِن كُلِّ شَيءٍ مِن عَتادِ القُوَّة العسكريّة والخَيل المُسوَّمة ورُكام سبائِك الذَّهب الوفير والكثير والقُصور الفاخِرة وجيش مُدَرَّب على فنون القِتال، فنَظَر إليهم الهُدهد في المبارزات التدريبيّة وكيف يَنطَلِقون للقفز بالخيول على الموانِع والتدرُّب لدفعات الجنود المُدَرَّبة على الفُنون القِتاليّة فوجدهم أُولي قُوَّة، وإضافة إلى قوّتهم فهُم كما وَصفوا أنفسهم أُولو عِزَّة وأولو بأسٍ شَديدٍ، ثُمَّ راقَب ما يَعبد قومها فوجدهم يَعبدون الشمس مِن دون الله، ثم دخل القَصر المَلَكيّ ليُراقِب ماذا تَعبُد المَلِكة في مِحرابها المُستَدير ذي الشبابيك المُستَديرة والرَّفيعة، فوجدها تَعبُد الشَّمس مِن دون الله، فهنا غَضب الهُدهد غَضَبًا شديدًا واحتَقَر عُقول قومها وعقلها، وكان يُصدِر إلى المَلِكة أصواتًا لم تفهمها؛ فكُلَّما أرادت أن تنظر إلى الشمس مِن محرابها لِتَخِرّ بعنقها بالسجود فقَط إلى الأمام؛ بالسجود للشمس بِنية العبوديَّة للشمس، ولَكِن الهُدهد الغاضِب مِمَّا تَعبُد مِن دون الله كان يَقِف في الشُّباك المُستَدير الذي يوازي قامتها وأرفع قليلًا فَيُقيم أمام وجهها ليمنعها مِن السُّجود للشمس، فيُصدِر أصواتًا تترى، فَكُلَّما انتقلت إلى شباكٍ ولو مائل عن الشمس قليلًا لتسجُد للشمس فَمِن ثمّ ينتقل فورًا إلى نفس الشُّباك فيُصدِر أصواتًا، فأرادت أن تُخيفه بيدها فلم يَخف ولم يَكتَرِث ولم يتزحزح ثم عمدت إلى شباكٍ آخَر فعمل نفس الحركات وأصدر أصواتًا، ثُمَّ عَلِمَت أن هذا الطّائر غاضِبٌ ويراها وقومها في ضلالٍ مُبينٍ، وأرادت أن تتأكَّد مِن تَصرُّفات الهُدهد فخرجت مِن معبدها فَطار الهُدهد وحَطَّ فوق المعبَد ونَظَر إليها بِصَمتٍ ونظرت إليه بِصَمتٍ، فَمِن ثمّ عادت لتسجُد للشمس لتنظُر هل يعود إلى الشُّباك لمنعها؟ فمُجرَّد ما دخلت المعبَد عاود للوقوف بينها وبين الشَّمس ويُصدِر صوتًا وراء صوتٍ لم تفهمه ولكِنها فَهِمَت فَعَلِمَت أنَّ هذا الطائر معصَّب وغاضِبٌ مِمَّا تَعبُد بغير الحَقّ، ولَكِنَّها لَم تفهم لغته شيئًا وإنَّما مِن خلال حركاته، ثم خرجت مِن المعبَد قبل أن تسجد للشمس فاتّجهت نحو قصرها فخرَج وكان يُحَلِّق في السماء صافًّا أجنحته يُصلي لله ربه أنها لَم تَسجُد للشمس لعَلَّها تفهَم مَقصده، فَمِن ثم اقترب منها لِيُعَبِّر لها عَن رِضاه وسعادته فحَلَّق على مَقرِبَةٍ أمام وجهها فَيُحَرِّك عنقه لإلقاء التحيّة، فأدهشتها حركات هذا الطائر! وتمنَّت لو أنها تفهم لغته لِتعلَم ما يُريد، فمِنّ ثمَّ انطلق مُتَّجِهًا نحو بِلاد الشَّام إلى نبيّ الله سُليمان ليُعَلِّمه بالتقرير الشامِل والكامِل عن مملكة سبأ العُظمى، فحَضر إلى مَجلِس سُليمان الاستشاريّ فقال له نبي الله سليمان: أين كُنت غائِبًا دون إذنٍ مِنّي؟ فَرَد الهُدهد: {فَقَالَ أَحَطتُ بِمَا لَمْ تُحِطْ بِهِ وَجِئْتُكَ مِن سَبَإٍ بِنَبَإٍ يَقِينٍ ﴿٢٢﴾‏} [سورة النمل].

فقال له نبي الله سُليمان هات ما لديك، فقال الهُدهد: {إِنِّي وَجَدتُّ امْرَأَةً تَمْلِكُهُمْ وَأُوتِيَتْ مِن كُلِّ شَيْءٍ وَلَهَا عَرْشٌ عَظِيمٌ ‎﴿٢٣﴾‏ وَجَدتُّهَا وَقَوْمَهَا يَسْجُدُونَ لِلشَّمْسِ مِن دُونِ اللَّهِ وَزَيَّنَ لَهُمُ الشَّيْطَانُ أَعْمَالَهُمْ فَصَدَّهُمْ عَنِ السَّبِيلِ فَهُمْ لَا يَهْتَدُونَ ‎﴿٢٤﴾‏ أَلَّا يَسْجُدُوا لِلَّهِ الَّذِي يُخْرِجُ الْخَبْءَ فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَيَعْلَمُ مَا تُخْفُونَ وَمَا تُعْلِنُونَ ‎﴿٢٥﴾‏ اللَّهُ لَا إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ رَبُّ الْعَرْشِ الْعَظِيمِ ۩ ‎﴿٢٦﴾‏} [سورة النمل].

فقال نبيّ الله سُليمان: { قَالَ سَنَنظُرُ أَصَدَقْتَ أَمْ كُنتَ مِنَ الْكَاذِبِينَ ‎﴿٢٧﴾‏ اذْهَب بِّكِتَابِي هَٰذَا فَأَلْقِهْ إِلَيْهِمْ ثُمَّ تَوَلَّ عَنْهُمْ فَانظُرْ مَاذَا يَرْجِعُونَ ‎﴿٢٨﴾} صدق الله العظيم [سورة النمل].


ثم عاود الرِّحلة مُجَدَّدًا بِكتاب نبيّ الله سُليمان، فراقَب المَلِكَة حين تذهب إلى معبدها لتعبُد الشمس فَمِن ثمَّ باشرها بنفس الحركات في الرِّحلة الأولى، فيقف أمام وجهها ليمنعها مِن عبادتها للشمس؛ نفس ما فعل معها في رحلته الأُولَى، فكُلَّما أرادت أن تسجُد للشمس حال بينها وبين الشمس في الشُّباك المُرتَفِع عَن قامتها قَليلًا ولذلك لم تَكُن تَرَ أنه أحضر معه هذه المَرَّة كِتابًا بَل أصَرّ على منعها لعبادتها للشمس، فهنا أجبرها على الاستمرار بالتَّفَكُر باستخدام العقل كما أجبر نبيّ الله إبراهيم قومه على استخدام العقل بعد أن حَطَّم أصنامهم. وحتى لا نخرج عن الموضوع، فَجلست على كُرسي في المَعبَد لتتفكَّر في حركات الطائر فقالت في نفسها: "تالله إنَّ هذا الطّائر لَيراني وقومي على ضلالٍ مُبينٍ بعبادة الشَّمس"، فتمنَّت لو أنها تفطن لغته لتعلم ما يُريد أن تعبُد، كونها أليمة في نفسها وترى أنَّ المفروض أنَّ الله رَب العالَمين هو الأحق بِعبادة العبيد، وحتى إذا شاهدها الهُدهد أطرقَت في التفكير كما أطرَق قوم نبي الله إبراهيم، ثم استغَلَّ الفُرصة فألقى إليها رسالة نبيّ الله سُليمان، فسرعان ما باشرت قراءتها فوجدت أول كلمة مَكتوبة:
"بِسم الله الرَّحمَن الرَّحيم إنَّه مِن نبي الله سليمان أن لا تعلوا علَيَّ وأتوني مُسلمين لله رَبّ العالمين واعبدوا الله وحده لا شريك له فلا تظلموا أنفسكم بعِبادة الشَّمس مِن دون الله". فَمِن ثمّ مُباشَرَةً فاضت عيناها مِمَّا عَرِفت مِن الحَقّ الذي أقرّه عقلها مِن قبل أن يأتيها كتاب نبيّ الله سليمان، وإنما أراد الله أن يطمئن قلبها بِما أشار عليها عقلها الرَّشيد فقالت: "أشهُد أنَّ لا إله إلَّا الله وحده لا شَريك وأسلمت مع سُليمان لله رَب العالَمين" مِن قَبْل أن ترى نبي الله سُليمان، فأصبحت مِن الموقنين وعرفت الله رَبّها ونَوَّر الله بصيرتها تصديقًا لوعد الله في مُحكَم كتابه: {وَالَّذِينَ جَاهَدُوا فِينَا لَنَهْدِيَنَّهُمْ سُبُلَنَا ۚ وَإِنَّ اللَّهَ لَمَعَ الْمُحْسِنِينَ ‎﴿٦٩﴾} صدق الله العظيم [سورة العنكبوت].

ولَكِن بقيت لديها مُشكلة كُبرى وهي: كيف تهدي قومها وتُكفَى شَرّهم؟ فكتمَت إسلامها لِرَبّ العالَمين، فدعت أعِزَّة قومها العُظماء (المجلس الاستشاري) كونها تستخدم منهَج الأنبياء (وشاورهم في الأمر) مِن رَجاحة عقلها: {قَالَتْ يَا أَيُّهَا الْمَلَأُ إِنِّي أُلْقِيَ إِلَيَّ كِتَابٌ كَرِيمٌ ‎﴿٢٩﴾‏ إِنَّهُ مِن سُلَيْمَانَ وَإِنَّهُ بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَٰنِ الرَّحِيمِ ‎﴿٣٠﴾‏ أَلَّا تَعْلُوا عَلَيَّ وَأْتُونِي مُسْلِمِينَ ‎﴿٣١﴾‏ قَالَتْ يَا أَيُّهَا الْمَلَأُ أَفْتُونِي فِي أَمْرِي مَا كُنتُ قَاطِعَةً أَمْرًا حَتَّىٰ تَشْهَدُونِ ‎﴿٣٢﴾‏ قَالُوا نَحْنُ أُولُو قُوَّةٍ وَأُولُو بَأْسٍ شَدِيدٍ وَالْأَمْرُ إِلَيْكِ فَانظُرِي مَاذَا تَأْمُرِينَ ‎﴿٣٣﴾‏ قَالَتْ إِنَّ الْمُلُوكَ إِذَا دَخَلُوا قَرْيَةً أَفْسَدُوهَا وَجَعَلُوا أَعِزَّةَ أَهْلِهَا أَذِلَّةً ۖ وَكَذَٰلِكَ يَفْعَلُونَ ‎﴿٣٤﴾‏ وَإِنِّي مُرْسِلَةٌ إِلَيْهِم بِهَدِيَّةٍ فَنَاظِرَةٌ بِمَ يَرْجِعُ الْمُرْسَلُونَ ‎﴿٣٥﴾‏} [سورة النمل].

فقالوا وما هي الهديّة؟ فأخبرتهم أنَّها قَرَّرت أن تختبر نبيّ الله بأطنان سبائك الذَّهب فقالت: "فإن كان مِن مُلوك الأرض فسوف يقبلها ونَتَّخِذه صَديقًا وحَليفًا لَنا فنزداد قُوَّةً إلى قُوَّتنا ونكتفي شَرّه ونَكفيه شَرَّنا بَدَلًا عَن القِتال وسَفْك الدِّماء، وأمَّا إن كان نبيًّا مُصطفىَ مِن رَبّ العالَمين فلن نشتري مبدأ دعوته بِجَبَلٍ مِن ذهب". فقالوا أعِزَّة قومها في المجلس الاستشاريّ: "وهو كذلك". فقالت: "بَل نَتَّفِق مِن الآن لئن رُدت إلينا هديتنا فأسلمنا مع سليمان لله رَبّ العالَمين، ألا ترونها هَدية مُغريّة؟!". فقالوا: "حتمًا سيقبلها فنكتفي شَرّه ونكفيه شَرّنا ونتَّخِذه حَليفًا لنا؛ وافقناكِ الرَّأي". فأصرَّت المَلِكة أنَّه إذا لم يقبلها أن نُسلِم لرَبّ العالمين فقالوا: "بل سوف يقبلها". فقالت: "بَل نتفِق مِن الآن". فقالوا: "وهو كَذلِك، فنحن ناظِرين معك بِمَ يَرجِع المُرسَلون". فانطلَق الرُّسل إلى نبيّ الله سُليمان بالهديّة التاريخيّة بِقافِلة مِن الجِمال مُحَمَّلة بالسَّبائك الذهبيَّة، فلمَّا جاء قائد قافلة الهديّة الذهبيّة فوصلوا إلى نبيّ الله؛ وقال الله تعالى: {فَلَمَّا جَاءَ سُلَيْمَانَ قَالَ أَتُمِدُّونَنِ بِمَالٍ فَمَا آتَانِيَ اللَّهُ خَيْرٌ مِّمَّا آتَاكُم بَلْ أَنتُم بِهَدِيَّتِكُمْ تَفْرَحُونَ ‎﴿٣٦﴾‏ ارْجِعْ إِلَيْهِمْ فَلَنَأْتِيَنَّهُم بِجُنُودٍ لَّا قِبَلَ لَهُم بِهَا وَلَنُخْرِجَنَّهُم مِّنْهَا أَذِلَّةً وَهُمْ صَاغِرُونَ ‎﴿٣٧﴾} صدق الله العظيم [سورة النمل].

كَون رفع ظُلم الإنسان عَن أخيه الإنسان أمرًا جبريًّا، وأمَّا الدِّين فلا إكراه في الدِّين. ثُمَّ عادوا بهَديتهم إلى مَلِكتهم ثم تَمَّ تنفيذ ما اتَّفقت بِه مع قومها في حالة أن رُدت هديتهم لهم: أن يُسلِموا مع سليمان لله رَبّ العالَمين. فأقامت ملكتهم الحُجَّة عليهم بهذا الشرط فأسلموا مع المَلِكة مَع سُليمان لله رَبّ العالَمين، فسُرَّ طائر الهُدهد كثيرًا حين سمعهم أسلَموا لله رَبّ العالَمين، فانطلَق بالبُشرى لنبيّ الله سُليمان لِعِدَّة أيَّامٍ وهو يطير، ولا يكاد أن يأخُذ قِسطًا مِن الراحة إلَّا قليلًا ليأكل له مِن الثَّمرات، فَوصَل إلى نبيّ الله سُليمان فأخبره أنهم أسلَموا مع مَلِكتهم لله رَبّ العالمين، فَمِن ثمَّ عَقَد نبيّ الله سُليمان مجلسه الاستشاريّ مِن الجِنّ والإنس: {قَالَ يَا أَيُّهَا الْمَلَأُ أَيُّكُمْ يَأْتِينِي بِعَرْشِهَا قَبْلَ أَن يَأْتُونِي مُسْلِمِينَ ‎﴿٣٨﴾‏ قَالَ عِفْرِيتٌ مِّنَ الْجِنِّ أَنَا آتِيكَ بِهِ قَبْلَ أَن تَقُومَ مِن مَّقَامِكَ ۖ وَإِنِّي عَلَيْهِ لَقَوِيٌّ أَمِينٌ ‎﴿٣٩﴾‏ قَالَ الَّذِي عِندَهُ عِلْمٌ مِّنَ الْكِتَابِ أَنَا آتِيكَ بِهِ قَبْلَ أَن يَرْتَدَّ إِلَيْكَ طَرْفُكَ ۚ فَلَمَّا رَآهُ مُسْتَقِرًّا عِندَهُ قَالَ هَٰذَا مِن فَضْلِ رَبِّي لِيَبْلُوَنِي أَأَشْكُرُ أَمْ أَكْفُرُ ۖ وَمَن شَكَرَ فَإِنَّمَا يَشْكُرُ لِنَفْسِهِ ۖ وَمَن كَفَرَ فَإِنَّ رَبِّي غَنِيٌّ كَرِيمٌ ‎﴿٤٠﴾‏ قَالَ نَكِّرُوا لَهَا عَرْشَهَا نَنظُرْ أَتَهْتَدِي أَمْ تَكُونُ مِنَ الَّذِينَ لَا يَهْتَدُونَ ‎﴿٤١﴾} [سورة النمل].

وأراد أن يختبر إيمانها: هل سوف تُصَدِّق بمعجزةِ إحضار عرشها الذي تركته مُحَصَّنًا في قَصْر مَجلِس الشورى مُغلقة عليه الأبواب؟ أم أنَّها سوف تُفتَتَن فَتَتَّهِم سُليمان أنَّه ساحِرٌ يُخَيِّلُ إليها عرشها فتكون مِن الذين لا يهتدون مِن الذين لا يُفَرِّقون بين السِّحر والمُعجِزة؟ وحتى تتجرأ فتقترِب مِن عرشها لتُلامسه بأيديها ولذلك خَفَّف سُليمان عليها الفِتنة فقال: "نَكِّروا لها عَرشها لننظُر أتَهتَدي فَتُصَدِّق أنَّه تَمّ إحضاره بِمُعجِزَةٍ مِن رَبِّ العالَمين فتكون مِن الموقنين". وقال الله تعالى: {فَلَمَّا جَاءَتْ قِيلَ أَهَٰكَذَا عَرْشُكِ ۖ قَالَتْ كَأَنَّهُ هُوَ ۚ وَأُوتِينَا الْعِلْمَ مِن قَبْلِهَا وَكُنَّا مُسْلِمِينَ ‎﴿٤٢﴾‏} [سورة: النمل].

والسُّؤال الذي يطرح نفسه: فما الدَّاعي لهذا الجواب الكبير والإقرار مِن سليمان بِعلمها فهي فقط قالت: "كأنَّه هو"؟ والجواب كَما سَبق شرحه في بيانٍ قَديمٍ أنَّها غمزَت لنبيّ الله سُليمان ليفهَم أنَّه هو، فقد شاهدت العَرْش حين اقتربت مِنه؛ فشاهدت أنَّه تَمَّت إزالة فُصوص الألماس المَنقوش به اسمها على العَرْش وشاهدت أمكِنةً في الفُصوص المنحوتة على العَرْش (إنَّما أُزيلَت فُصوص اسمها)، فعَرِفَت أنه هو عرشها تَم إحضاره بمعجزةٍ مِن الله مزيدًا من البرهان لِما يدعو إليه، فاستدارت على العَرش فَتَلمَّست مواقع الفُصوص لتتأكَّد بالملمَس أنَّها أماكِن فُصوص اسمها ثم جعلت ظهرها باتجاه وَفْد قومها، ووجهها جِهة سُليمان، فرَمشت بعينها فقالت: "كأنه هو". وإنَّما غمزت لنبيّ الله سُليمان أن يفهم أنَّه هو ويفهَم أنها لا تريد أن تُقِرّ أنّه هو خَشية أن يُفتتَن قومها فيظنوا سُليمان ساحِرًا يُخَيِّل إليهم عَرشها، فَعلِم نَبيّ الله ما تقصده مِن غمزة عَينها مع قولها: "كأنه هو"، فعلِم ما تقصد ثم شَهد في نفسه لها بعِلم معرفة الله الحَقّ ولذلك قال نبي الله سليمان في نفسه مُقِرًّا بِعلمها؛ وقال الله تعالى:
{فَلَمَّا جَاءَتْ قِيلَ أَهَٰكَذَا عَرْشُكِ ۖ قَالَتْ كَأَنَّهُ هُوَ ۚ وَأُوتِينَا الْعِلْمَ مِن قَبْلِهَا وَكُنَّا مُسْلِمِينَ ‎﴿٤٢﴾‏} صدق الله العظيم [سورة النمل].

وقال الله تعالى:{أَفَمَن يَعْلَمُ أَنَّمَا أُنزِلَ إِلَيْكَ مِن رَّبِّكَ الْحَقُّ كَمَنْ هُوَ أَعْمَىٰ ۚ إِنَّمَا يَتَذَكَّرُ أُولُو الْأَلْبَابِ ‎﴿١٩﴾‏} صدق الله العظيم [سورة الرعد]

وكُنَّا نُريده مُجرَّد تعليقٍ ولكنّه أصبح بيانًا؛ مَزيدٌ مِن التّفصيلِ وإلى الله تُرجَع الأمور.

فدَعوا البيان هذا ها هُنا إلى حين وتسجيل مُتابعةٍ.. دَردشة مع أحِبّتي في الله الأنصار السّابقين الأخيار والباحثين مِن أُولي الألباب.

واعلَموا أنّي لا أقُصُّ عليكم قصَصَ القرآن مِن عندِ نفسي؛ بل أستنبِط عِلمي مِن القرآن العظيم بالبُرهانِ؛ بَسطة بُرهان الخلافة على مَلَكوتِ العالَمين بالبيانِ الحقِّ للقرآن العظيم.

وأقول:
«اللهم إنَّهم تعالَوا عَلَيَّ ورفضوا اختياركَ لخليفتِك سُبحانك فلا تُشرِكُ في حُكمِكَ أحدًا؛ اللهمّ فأخضِع أعناق المُعرِضين بآيات جُنود كوفيد الشَّديد مِن لدُنكَ، اللهمّ وارفع مِعيار حَربِكَ الكونيّة والكورونيّة، اللهم واهدِ مِن عبادِك الذين لو علِموا الحَقّ لاتَّبَعوه، أليسَ الله أعلم بالشّاكرين».

وسَلامٌ على المُرسَلين؛ والحَمدُ لله رَبّ العالَمين..
خليفة الله على مَلَكوت العالَمين؛ الإمام المهديّ ناصِر مُحَمَّد اليمانيّ.
________________
اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..